Pinda awashangaa wanaotumia rasilimali nyingi kuusaka urais
MIZENGO PINDA
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amewashangaa watu wanaotumia fedha na rasilimali za nchi kwa ajili ya kuutaka urais na kuwakumbusha wenye nia hiyo kuwa, rais ni mipango na neema za Mungu..
No comments:
Post a Comment