
Matukio ya wanawake kukata tamaa ya kuolewa kwa miaka ya sasa yameanza kuonekana ni ‘fashion’ huku wengi waaiona ni jambo la kawaida kuishi maisha ya peke yao.
Yasmin Eleby mwenyeji wa Houston, Marekani ameamua kufunga ndoa ya peke yake baada ya kufikisha miaka 40 bila kuona dalili yoyote ya kuolewa.

Eleby aliamua kufanya siku yake hiyo kuwa ya tukio muhimu kama ambavyo alikua akiota siku moja atakuja kuolewa na kufurahia siku hiyo ambapo aliwaalika baadhi ya ndugu zake na marafiki na kuamua kufanya sherehe hiyo katika ukumbi wa makumbusho waHouston Museum.
No comments:
Post a Comment