

Akizungumzia namna alivyoupkea mwaka wa 2015 Amanda alisema, kwanza anamshukuru Mungu kwa kuuona akiwa mzima lakini akamuomba amuepushe na mabalaa kwani uliopita haukuwa rafiki kwake.
“Mwaka 2014 bora umeisha, ulikuwa mbaya sana kwangu, mwanzo ulikuja vizuri lakini nikashangaa katikati ukanigeuka, nimenusurika kifo lakini namshukuru Mungu naendelea kupumua hadi leo,” alisema Amanda.
No comments:
Post a Comment