Pages

2015-01-02

Sijawahi kutoa wala kupokea Rushwa na bado nina dhamira ya dhati ya kumsaidia Rais Jakaya Kikwete" --Hii ni Kauli ya Waziri Mkuu Pinda

 
Waziri mkuu Mizengo Pinda amesema bado ana dhamira ya dhati ya kumsaidia rais Jakaya Kikwete katika uongozi wa taifa la Tanzania
 na kuongeza kasi ya kuwahudumia wananchi, ili waweze kujiletea maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Waziri Mkuu aliyasema h

No comments:

Post a Comment