Pages

2015-02-02

HIVI NDIVYO WALIVYO FANYA PETER LUSE, MZEE MAGALI WAZINDUA FILAMU YA DINI

Baadhi ya watu waliohudhuria uzinduzi huo.


Mzee Magali akicheza muziki na mashabiki wake.

Bendi ya muziki wa injili kutoka katika kanisa la Nchi ya Ahadi ikitumbuiza.

Mtunzi wa filamu ya Behind The Pastors, Peter Luse akiongelea changamoto za filamu hiyo.

Peter Luse, Edson Masabwite na Mzee Magali wakicheza muziki.

Stanley Msungu akizundua rasmi filamu kwa waalikwa.

WASANII wa filamu nchini, Peter Luse, Mzee Magali na Stanley Msungu wamezindua filamu ya kidini inayotambulika kwa jina la Behind The Pastors.

Uzinduzi huo ulifanyika katika ukumbi wa Princess Hall, Sinza-Mapambano, jijini Dar, ambapo mtunzi wa filamu hiyo alisema madhumuni ya kuandaa filamu hiyo ni kubainisha changamoto wanazokutana nazo watumishi wa Mungu kama visa, ugomvi wa madhabahuni na ushirikina.

No comments:

Post a Comment