fukufuku
Tunafukua nEwS
Pages
(Move to ...)
Nyumbani
H/KIMATAIFA
▼
2015-03-03
Sad Neeeeeeeeeeewzzzzzzz:MKE WA NOORAH AFARIKI DUNIA
Msanii wa Bongo Fleva Noorah akiwa na mke wake Anna Kingwalu siku ya ndoa yao.
Mke wa msanii wa Bongo Fleva Noorah, Anna Kingwalu, amefariki leo nyumbani kwao Morogoro amethibitisha Dark Master.
Noorah na Anna walifunga ndoa Juni 8, 2013 nyumbani kwao Shinyanga.
Mungu ampumzishe kwa amani.
GPL
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment