Pages
▼
Watu 6 Wafariki Dunia Usiku Wa Kuamkia Leo baada ya Magari Manne Kugongana Huko Nzega.....Hapa kuna Picha 10 Toka Eneo la Ajali

Watu 6 wamefariki dunia na wengine 9 kujeruhiwa vibaya katika ajali mbaya iliyohusisha magari manne huko Undomo wilayani Nzega usiku wa kuamika leo.
No comments:
Post a Comment