
Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe ameagiza kung’olewa kwa baadhi ya vigogo wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) ambao wanatuhumiwa kuhusika katika mchakato wa ununuzi wa mabehewa ya kusafirisha kokoto kutoka India, ambayo yalibainika kuwa mabovu.
Mwananchi
No comments:
Post a Comment