
Wawakilishi wa Bush wanasema kuwa hatua hiyo ya kupelekwa hospitali ni kama tahadhari. Bush mwenye umri wa miaka 90 alikuwa madarakani tangu mwaka 1989-1993 na ndiye Rais mzee kuwahi kuiongoza Marekani akimshinda Jimmy Carter kwa miezi michache. Alihudumu kwa muhula mmoja baada ya kushindwa na Rais Bill Clinton. Bush ambaye hawezi kutumia miguu yake, hivi karibu
0 comments:
Post a Comment