ka

kala jeremaya
Rapa wa ngom
a ya ‘’Usikate Tamaa’,Kala Jeremiah hivi karibuni alilazwa katika hospitali ya Arafa iliyopo maeneo ya
Airport baada ya kuugua magonjwa ya malaria na typhod.
‘’Yaah nilikuwa naumwa malaria na Typhod na nilikuwa naenda katika hospitali ya Arafa nilikuwa nikipatiwa matibabu na kupumzishwa lakini kwa sasa hivi naendelea vizuri’’ alisema Kala.

0 comments:
Post a Comment