Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ndio mwenyekiti mpya wa Umoja wa Afrika -Au
Rais mkongwe wa Zimbabwe Robert Mugabe, mwenye umri wa miaka tisini, sasa ameteuliwa kuwa mwenyekiti wa muungano wa Afrika-AU.
Wajumbe walimteuwa Mugabe kwa kauli moja katika mkutano wa AU unaoendelea mjini Addis Ababa-Ethiopia.
Sasa Mugabe amechukua mahala pa mwenyekiti anayeondoka wa muungano huo, Nkosazana Dlamini-Zuma.
Uteuzi wa Mugabe kuongoza muungano huo mkubwa ulio na wanachama zaidi ya arubaini, sasa umeingiza doa ndani ya AU, kwani Mugabe hana uhusiano mzuri na mataifa ya Magharibi, hasa baada ya kukaa uongozini tangu Zimbabwe ilipojipatia uhuru mnamo mwaka wa 80.
SWALI: Aliyeteuliwa kuwa mwenyekiti mpya AU ni nani?
a. Rais MUGABE
b. John Makini
c. R. Kelly
Kujibu swali hili ushinde na kuwa mfukuaji wetu bora wa wiki bofya hapa
SWALI: Aliyeteuliwa kuwa mwenyekiti mpya AU ni nani?
a. Rais MUGABE
b. John Makini
c. R. Kelly
Kujibu swali hili ushinde na kuwa mfukuaji wetu bora wa wiki bofya hapa
0 comments:
Post a Comment