MOTO mkubwa uliozuka eneo la Kibangu, Ubungo jijini Dar es Salaam umeteketeza viwanda vya kusaga plastiki, kuchomelea, useremala na kuunguza maduka mawili ya karibu pamoja na vibanda vingine vya biashara eneo hilo.
Moto huo umeteketeza vitu vingi vya thamani vikiwemo mashine za kulanda mbao, kusaga plastiki na za kuchomelea vyuma.
Chanzo cha moto huo bado hakijafahamika mpaka sasa.
Isome hii Tanzia:
Isome hii Tanzia:
0 comments:
Post a Comment