2015-03-04

MSANI BARNABA WA THT ATOA MANENO YA NGUONI KWA MPENZI WAKE

Mzungu/ mwelewa /mstaharabu) mkarimu ) Mvumilivu wa vingi ( anajuwa Bajeti na maisha ni nini. 
Mti wangu kila ninapotaka kula matunda na kupata kimvuli / Chakula yangu kila nisikiapo njaa Doctor wangu kila ninaposikia maumivu / Fundi gereg wangu Kila gari langu la chini linapotaka 



kumwaga Oil / mama Yangu kila ninapotaka kudeka wewe Ndo mshika mali zote za mwanangu na wewe Ndo mweka #Azina wangu kwenye kila Karatasi yenye Faida au maslahi Apa Dunian Nimeridhika nWe #Jioni Njema na najuwa Wazuri wako wengi lakini wanakuzidi kwenye Macho yangu Tu kwenye Moyo wewe ni No 1 na sifuli inhekuwa number

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...