
Mrembo na Staa wa Bongo Movie, Jacqueline Wolper amebandika andiko hili kwenye ukurasa wake wa mtandaoni.
“Mama rafiki wakweli, ukitendwa na mwanaume/mwanamke kimbilio kwa mama tuwapende nakuwalinda napia kwa wenzetu ambao mama zao wameshatangulia mbele za haki tuwaombee, mama yoyote ni mama tuwapende”.
Ujumbe mzuri sana huu,tuwapende wakinamama wote.
No comments:
Post a Comment