
Dk Willbrod Slaa akikosoa uteuzi wakuu wa mikoa
Mabadiliko ya wakuu wa mikoa yaliyotangazwa juzi na Rais
Jakaya Kikwete yametajwa kuwa na malengo ya kisiasa, huku Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willbrod Slaa akikosoa kitendo cha kuhamishwa vituo vya kazi wakuu hao sita ndani ya mwezi mmoja, kwamba ni gharama kwa Serikali.
Mwananchi
0 comments:
Post a Comment