Zile picha za mahaba za msanii wa Hip Hop Bongo,Nay Wa Mitego akiwa na msichana kitandani zimezua balaa kwa mama mtoto wake Siwema Edson ambaye baada ya kuziona aliamua kumchukua mtoto wake na kuondoka nyumbani kwa msanii huyo maeneo ya Kimara,jijini Dar.



Hata hivyo Nay akijitetea alisema kuwa zile picha zilivujishwa na mtu ambaye huwa ana post account yake ya Instagram na kwamba ni picha za video yake ya ngoma yake mpya ambayo ataiachia hivi karibuni iitwayo ‘Only You’.
0 comments:
Post a Comment