2015-02-11

FAMILIA ZA BOBBI KRISTINA ZAAMUA KUWA AFE LEO JUMATANO KAMA ALIVYOKUFA MAMA YAKE WHITNEY HOUSTON


Bobbi Kristina akiwa na mama yake mzazi, Whitney Houston enzi za uhai wake. 

FAMILIA za Bobby Brown na marehemu Whitney Houston zimekubaliana kumwondolea Bobbi Kristina mashine inayomsaidia kupumua leo, Jumatano ili afe tarehe sawa na ile ambayo mama yake mzazi, Whitney Houston alifariki.

Mjukuu wa Bobbi, Cissy Houston alitoa wazo hilo la Februari 11 wakati wa majadiliano yaliyofanyika wikiendi iliyopita kati ya familia ya Whitney Houston na Bobby Brown kwenye Hospitali ya Chuo Kikuu cha Emory huko Atlanta nchini Marekani. 
&nbsp

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...