NYUMBA ya Vipaji Tanzania (Tanzania House of Talent - THT) jana ilifanya sherehe kubwa ya kutimiza miaka 10 tangu kuanzishwa kwake.
Sherehe hiyo iliyopambwa na shoo kali kutoka kwa wasanii wa THT na wasanii waalikwa, ilifanyika katika Viwanja vya Escape One jijini Dar, na kujaza umati wa mashabiki na wadau wa muziki ambao waliungana na THT katika kusheherekea siku hiyo.
GPL
0 comments:
Post a Comment