
Pili amesema wakiongeaga na Rais huwa Rais anajuwa mambo mengi ya muziki huko Amerika kuliko yeye.
Nimejiuliza hivi ni kweli Rais JK anaweza kufanya hivyo ukizingatia majukumu mazito yanayomkabili juu ya taifa na wananchi wake?
Ni kweli Rais JK anajuwa mambo ya burudani na vinavyojiri kwenye ulimwengu wa muziki kuliko Diamond?
Au kijana baada ya kupewa nafasi na Mh. Rais ameanza kujisahau na kuhisi ni saizi yake?
0 comments:
Post a Comment