

Story ilianza juzi mwanadada Zari alipopost picha wakiwa kwenye ndege yeye na Diamond, sasa leo zimepatikana picha zingine wote wakiwakwenye pose tofauti tofauti kama wapendanao wa siku nyingi, haijafahamika ni nini kinaendelea maana hakuna kati yao aliyesema chochote, pengine wako location, ama ni video maana wote ni wazamziki.



0 comments:
Post a Comment