
Habari zilizotufikia hivi punde Hostel za Mabibo Hostel zinazomilikiwa na chuo kikuu cha dar es salaam moja ya jengo moja linateketea kwa moto muda huu ambao chanzo chake hakijajulikana kwa taarifa za awani zinadai kuwa ni bweni la wanawake ndio linalowaka moto. endelea kutembea hapa kwa taarifa zaidi.



0 comments:
Post a Comment