Marehemu Kapteni Komba.
Picha ya kwanza ya Marehemu komba mara baada ya kufariki dunia.
...Komba enzi za uhai wake.
MBUNGE wa Mbinga Magharibi, Kapten John Komba amefariki dunia jioni hii jijini Dar es Salaam.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amethibitisha...
2015-02-28
JAJI MKUU AENDELEA NA ZIARA YA KIKAZI MKOANI TABORA
Kiongozi wa upinzani auawa Urusi
Marekani kufungua ubalozi wake Cuba
Marekani inasema kuwa itafungua ubalozi wake nchini Cuba kuanzia mwezi Aprili.Baada ya duru ya pili ya mazungumzo mjini Washington yenye lengo la kurejesha uhusiano kati yao mwanadiplomasia wa cheo cha juu wa Marekani katika nchi za Marekani ya kusini Roberta Jacobson, alisema kuwa itawezekana kufunguliwa...
Makada CCM wamvaa JK
Prof. Muhongo agoma kuzungumzia urais Sababu ni Hizi
Kitaeleweka tu Chadema Mbeya yasema mwisho wa CCM Oktoba
Aangusha ng’ombe watatu kusherehekea uwaziri...........bofya hapa kuona jinsi sherehe ilivyokuwa
NAIBU Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage, anadaiwa kuandaa ng’ombe watatu ambao watachinjwa leo kwa ajili ya kusherehekea kuteuliwa kushika wadhifa huo.
Mwijage, ambaye ni Mbunge wa Muleba Kaskazini (CCM), aliteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kushika nafasi hiyo Januari 24, mwaka huu, baada...
Pumzi ya mwisho Lowassa, Membe
Dar es Salaam. Wakati makada wa CCM wakivuta pumzi ya mwisho kwa matarajio ya kuondolewa kifungo cha miezi 12 ili wajitose rasmi kuwania urais, Kamati Kuu ya chama hicho inakutana leo kukiwa na habari kuwa itatumia muda mwingi kujadili mwelekeo wa mchakato wa Kura ya Maoni na badala wa wanachama hao...
KINANA AKUTANA NA KAMATI KUU YA CHAMA CHA SPLM CHA SUDANI YA KUSINI
Ndege ya JWTZ yaanguka, rubani wake ajiokoa kwa parachuti
Ndege ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) baada ya kuanguka katika uwanja wa ndege Mwanza. Ndege hiyo ambayo ilidaiwa kuwa ni ya kivita na ilikuwa mpya ilianguka saa mbili asubuhi na kuteketea kwa moto, huku rubani wake akinusulika kifo baada ya kuruka kutoka angani kwa kutumia parachuti.
(adsbygoogle...
Pumzi ya mwisho Lowassa, Membe...........soma hapa kilichojiri
Mwenyekiti wa CCM, Jakaya Kikwete akipiga makofi wakati alipowasili katika mkutano wa chama hicho Mjini Dodoma hivi karibuni.Adhabu ya makada sita wa CCM ya kufungiwa miezi 12 ilishaisha tangu kastikati ya mwezi huu na sasa wanasubiri kwa hamu tangazo la Kamati Kuu la kumalizika kwa adhabu yao ili...
MH. AL SHAIMAR KWEIGYIR AMTEMBELEA MAJERUHI WA TUKIO LA UPORWAJI WA MTOTO MWENYE ULEMAVU WA NGOZI (ALBINO) N AKUSEMA HAYA
DC Paulo Makonda Kufikishwa Mahakamani kwa Udhalilishaji.........bofya hapa kuona jinsi anavyopandishwa kizimbani

Viongozi wawili wa Chama cha Mapinduzi (CCM), wanakusudia kumfikisha mahakamani Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda, Jumatatu ijayo kwa madai ya kuwakashifu, kuwadhalilisha na kuwatukana. Viongozi hao ni aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, John Guninita na Mwenyekiti wa CCM mkoa...
Tibaijuka atibua hasira za wananchi.............kwa habari zaidi soma hapa
KAULI iliyotolewa na aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, mbele ya Baraza la Maadili lililoketi kumhoji juu ya mgawo wa fedha za Escrow, kuwa alitumia Sh milioni 10 kwa ajili ya kununulia mboga, imeibua hasira kutoka kwa wananchi, wasomi na viongozi wa kada...
NIGERIA: She Is Back! MAHEEDA The Queen Of Indecency Sem!
Subscribe to:
Posts (Atom)