2015-02-28

JAJI MKUU AENDELEA NA ZIARA YA KIKAZI MKOANI TABORA

Mhe. Mohamed Chande Othman, Jaji Mkuu wa Tanzania (kulia), akijadili jambo na Mhe. Ludovick Mwananzila, Mkuu wa Mkoa wa Tabora alipotembelea Ofisi ya Mkoa wa Tabora alipokuwa katika ziara yake ya kikazi ya kutembelea Mahakama mkoani humo.  (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); ...

Marekani kufungua ubalozi wake Cuba

Marekani inasema kuwa itafungua ubalozi wake nchini Cuba kuanzia mwezi Aprili.Baada ya duru ya pili ya mazungumzo mjini Washington yenye lengo la kurejesha uhusiano kati yao mwanadiplomasia wa cheo cha juu wa Marekani katika nchi za Marekani ya kusini Roberta Jacobson, alisema kuwa itawezekana kufunguliwa...

Makada CCM wamvaa JK

Aliyekuwa Mwenyekitiwa CCM Mkoawa Dar es Salaam John, Guninita akizungumza na wandishi wahabari, Dar es Salaam jana kuhusiana na kutaka kumshitaki Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda.  Kauli hiyo, ilitolewa jana na wenyekiti wa wa zamani wa chama hicho wa Dar es Salaam, John Guninita na...

Prof. Muhongo agoma kuzungumzia urais Sababu ni Hizi

SIKU chache baada ya wazee wa Wilaya ya Musoma, na jana tena baadhi ya viongozi wa mashina na matawi wa Chama Cha  Mapinduzi (CCM) jijini Dar es Salaam kumtaka aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, achukue fomu ya kuwania urais, mwanasiasa huyo amesema hataki...

Kitaeleweka tu Chadema Mbeya yasema mwisho wa CCM Oktoba

Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi Na Lauden Mwambona, Mwananchi (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Mbeya. Mwenyekiti wa Chadema mkoani hapa, Joseph Mwachembe maarufu kwa jina la China amesema chama chake hakina ndoto ya kuwapo kwa serikali ya mseto awamu ya tano ya uongozi...

Aangusha ng’ombe watatu kusherehekea uwaziri...........bofya hapa kuona jinsi sherehe ilivyokuwa

NAIBU Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage, anadaiwa kuandaa ng’ombe watatu ambao watachinjwa leo kwa ajili ya kusherehekea kuteuliwa kushika wadhifa huo. Mwijage, ambaye ni Mbunge wa Muleba Kaskazini (CCM), aliteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kushika nafasi hiyo Januari 24, mwaka huu, baada...

KINANA AKUTANA NA KAMATI KUU YA CHAMA CHA SPLM CHA SUDANI YA KUSINI

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumzana na Kamati Kuu ya Chama Cha SPLM ambapo alipeleka ujumbe maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya  Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,kikao hicho kilikuwa chini ya  (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); ...

Ndege ya JWTZ yaanguka, rubani wake ajiokoa kwa parachuti

Ndege ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) baada ya kuanguka katika uwanja wa ndege Mwanza. Ndege hiyo ambayo ilidaiwa kuwa ni ya kivita na ilikuwa mpya ilianguka saa mbili asubuhi na kuteketea kwa moto, huku rubani wake akinusulika kifo baada ya kuruka kutoka angani kwa kutumia parachuti.  (adsbygoogle...

Pumzi ya mwisho Lowassa, Membe...........soma hapa kilichojiri

Mwenyekiti wa CCM, Jakaya Kikwete akipiga makofi wakati alipowasili katika mkutano wa chama hicho Mjini Dodoma hivi karibuni.Adhabu ya makada sita wa CCM ya kufungiwa miezi 12 ilishaisha tangu kastikati ya mwezi huu na sasa wanasubiri kwa hamu tangazo la Kamati Kuu la kumalizika kwa adhabu yao ili...

MH. AL SHAIMAR KWEIGYIR AMTEMBELEA MAJERUHI WA TUKIO LA UPORWAJI WA MTOTO MWENYE ULEMAVU WA NGOZI (ALBINO) N AKUSEMA HAYA

Na Mwandishi Wetu, Mwanza. Mbunge wa kuteuliwa, Al Shaimar Kweigyir, amtembelea majeruhi wa tukio la uporwaji wa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi albino,Yohana Bahati, aliyetekwa nyara na kukutwa akiwa amekufa.  (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Katika ziaraa hiyo kwenye...

DC Paulo Makonda Kufikishwa Mahakamani kwa Udhalilishaji.........bofya hapa kuona jinsi anavyopandishwa kizimbani

Viongozi wawili wa Chama cha Mapinduzi (CCM), wanakusudia kumfikisha mahakamani Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda, Jumatatu ijayo kwa madai ya kuwakashifu, kuwadhalilisha na kuwatukana. Viongozi hao ni aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, John Guninita na Mwenyekiti wa CCM mkoa...

Tibaijuka atibua hasira za wananchi.............kwa habari zaidi soma hapa

KAULI iliyotolewa na aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, mbele ya Baraza la Maadili lililoketi kumhoji juu ya mgawo wa fedha za Escrow, kuwa alitumia Sh milioni 10 kwa ajili ya kununulia mboga, imeibua hasira kutoka kwa wananchi, wasomi na viongozi wa kada...
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...