Akizungumza na Clouds Fm,Madee alisema kuwa mwishoni mwa wiki hii alizidiwa sana na kukimbizwa hospitali alipopimwa aligundulika kuwa ana ugonjwa wa Malaria na kupumzishwa kwa muda katika hospitali hiyo.
‘’Yaah! Ni kweli nilikuwa naumwa sana ikabidi niende hospitali nikagundulika kuwa nina malaria daktari akashauri nipewe kitanda nikalazwa pale hospitali ila kwa sasa namshukuru Mungu naendelea na matibabu nipo vizuri,’’alisema Madee.
0 comments:
Post a Comment