2014-10-30

Updates: Watu wapoteza maisha baada ya Hiace na Lori kugongana Arusha. ANGALIZO: Picha zinasikitisha

Simanzi zimetanda jiji la Arusha baada ya watu zaidi ya 15 kufa katika ajali iliyotokea eneo la Tengeru. Akiongea na Kajunason Blog mmoja ya mashahidi aliyefika eneo la tukio na hospitali ya Mount Meru amesema ajali ilitokea majira ya saa kumi jioni huko maeneo ya Sadec-Darajani -Tengeru iliyohusisha...

2014-10-29

KUHUSU NANI KUPEWA TAJI LA MISS TANZANIA 2014 KAMA SITTI MTEMVU ALIDANGANYA UMRI, LUNDENGA ATOA JIBU.

Inawezekana wewe ukawa miongoni mwa wengi wanaofuatilia skendo ya Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu na inawezekana pia umeshajiuliza nini kitatokea uchunguzi wa BASATA utakapokamilika na ikibainika kuwa alidanganya umri wake.Baada ya mwenyekiti wa kamati ya Miss Tanzania bwana Hashim Lundenga kuulizwa...

TUNAFUKUA: KAMA WEWE UMESOMA AU ULISOMA, ANGALIA PICHA HIZI KWA DAKIKA 2 TU.

Nenda Google images andika Maneno Haya 'Wanafunzi wa Chuo' Kama hazitatoka picha hizi nyingi za Aina hii Hapa Chini naacha kufukua: (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Halafu baada ya hapo andika ''University Students'' Zitakuja Picha za Aina Hii Hapa Chini: Je Tumlaumu n...

TUNAFUKUA: Rais aipasua kichwa UKAWA 2015: FUKUFUKU

  Dar es Salaam. Baada ya vyama vinne vya upinzani nchini kusaini makubaliano ya kushirikiana pamoja na kusimamisha mgombea mmoja katika chaguzi zote zijazo, umoja huo sasa unakabiliwa na kazi ngumu ya kuweka sawa mambo, ikiwa ni pamoja na mchakato wa kumpata mgombea urais, kabla ya filimbi ya...

VIEWERS REPORT, TBC YASHIKA NAFASI YA MWISHO

Kwa hali ya kushangaza, kituo cha television cha matangazo cha tbc 1 kati ya vituo vinne maarufu vya matangazo ya habari nchini Tanzania kimeshika nafasi ya mwisho baada ya kufanyiwa utafiti,Kwa habari za uhakika ni kwamba kituo kilichoongoza kuangaliwa na watazamaji wengi ni ITV kikifuatiwa na Star...

ONA LORI LA MAFUTA- LAANGUKA, LATEKETEA KWA MOTO DAR

Mashuhuda wakieleza yaliyotokea. (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Wafanyakazi kampuni inayomiliki lori hilo ambayo bado haijafahamika, wakifanya tathmini ya hasara iliyopatikana.Sehemu ya matairi ilivyobaki.Sehemu ya juu ilivyoungua.Maofisa wa polisi wakijadiliana la kufanya.…Wakielekea...

Roketi ya Marekani ya Antares yalipuka

Roketi ya safari za anga za juu iliyokua ikielekea Kituo cha Kimataifa cha Anga za juu imelipuka wakati ikiruka kutoka jimbo la Virginia nchini Marekani.Roketi Antares, yenye urefu wa ghorofa 14 ikiwa imetengenezwa na shirika la Orbital Sciences Corp, ililipuka sekunde chache baada ya kuruka katika...

SAD NEWS: RAIS MICHAEL SATA WA ZAMBIA AAGA DUNIA

  Rais Michael Sata wa Zambia afariki duniaFamilia ya Bwana Sata wameiambia BBC kuwa Rais wa Zambia, Michael Sata, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 77 katika hospitali ya London alikokuwa akitibiwa ugonjwa ambao haujatajwa.Kifo chake kimetokea siku chache baada ya Zambia kusherehekea miaka...

2014-10-28

PHOTOS: CHID BENZ AKIWA CHINI YA ULINZI MKALI AKIPELEKWA MAHAKAMANI

Msanii wa Hip Hop, Rashid Makwiro ‘Chidi Benzi’ akisindikizwa na askari Polisi wakati akiingia katika chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini leo Dar es Salaam kujibu mashtaka matatu likiwemo la kukutwa na dawa za kulevya kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es...

Statoil scholarship for Master Programme in Energy and Petroleum

  (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Since 2011 the University of Dar es Salaam (UDSM), specifically the Department of Chemical and Mining Engineering, the Norwegian University of Science and Technology (NTNU) of Norway and the Angolan University of Agostinho Netto are collaborating...

MSANII CHID BENZ, APANDISHWA KISUTU

(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Msanii wa Hip Hop, Rashid Makwiro 'Chid Benz' leo amepandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kisutu jijini Dar es Salaam na kusomewa mashtaka matatu ya kukutwa na madawa ya kulevya, vifaa vya kutayarishia uvutaji wa madawa,...

OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA YATOA MAJIBU YA SENSA YA 2012

Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Takwimu ya Taifa, Albina Chuwa, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani). (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Kamishna wa Sensa, Hajjat Amina Said, akitoa ufafanuzi kwa wadau (hawapo pichani). Mwakilishi wa UNFPA, Dk. Natalia Kanem akizungumza...
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...