Siku chache baada ya Shilole kumzaba makofi Nuh mbele ya kadamnasi ambapo wahsabiki wake hawakufaurahishwa na jambo hilo kwenye instagram, Shilole ameamua kuomba msamaha kwa mpenzi wake na washabiki wake.
"Hii ni kwa mashabiki wangu wote nawapenda sana pili! Nawaomba radhi kwa kitendo kilichotokea juzi binafs sikupenda but ni hasira tu. Mm pia ni binaadam so kukosea ni kawaida so pili nimuombe na mpenzi wangu kwa nilichofanya! Nawapenda sana haitojitokeza tena one love sana" Shilole
Inaonyesha wawili hao wameweka tofauti zao pembeni na kuyamaliza
0 comments:
Post a Comment