Mabao ya Azam yamefungwa na Didier Kavumbagu aliyetupia mawili pamoja na Frank Domayo ambaye naye amefunga mawili huku bao la mwisho likiwekwa kimiani na Kipre Tchetche.
Mabao mawili ya Mtibwa Sugar yamefungwa na Musa Nampaka na Ameir Ally.
Kwa matokeo ya leo, Azam wamerudi tena kileleni wakiwa na jumla ya pointi 25 sawa na Yanga lakini wakiwazidi Yanga kwa tofauti ya mabao.
GPL
0 comments:
Post a Comment