Mwigizaji wa filamu za Kibongo, Chuchu Hans amefunguka kwa mara ya kwanza kuwa mpenzi wake ambaye pia ni staa wa filamu,Vincent Kigosi, ’Ray’ hana uhusiano wa kimapenzi na msanii mwenzake Blandina Chagula ’Johari’ kama ambavyo watu wanadhani.
Chuchu afunguka uhusiano kati ya Ray na Johari, aliyoyasema ni mshtuko
Mwigizaji wa filamu za Kibongo, Chuchu Hans amefunguka kwa mara ya kwanza kuwa mpenzi wake ambaye pia ni staa wa filamu,Vincent Kigosi, ’Ray’ hana uhusiano wa kimapenzi na msanii mwenzake Blandina Chagula ’Johari’ kama ambavyo watu wanadhani.
0 comments:
Post a Comment