KIJANA mmoja anayedaiwa kuwa kibaka ambaye hakufahamika jina lake mara moja jana amepokea kichapo kutoka kwa wananchi baada ya kudaiwa kutaka kupora taa za gari la mwananchi mmoja maeneo ya Upanga jijini Dar es Salaam jana.
KIBAKA ALA KICHAPO KWAAJILI YA HILI
KIJANA mmoja anayedaiwa kuwa kibaka ambaye hakufahamika jina lake mara moja jana amepokea kichapo kutoka kwa wananchi baada ya kudaiwa kutaka kupora taa za gari la mwananchi mmoja maeneo ya Upanga jijini Dar es Salaam jana.



0 comments:
Post a Comment