Ngeleja (47), ambaye amewahi pia kuwa naibu waziri na Waziri wa Nishati na Madini, alisema hayo wakati akihitimisha utetezi wake baada ya kusomewa malalamiko hayo dhidi yake na wanasheria wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma mbele ya baraza hilo, linaloongozwa na Mwenyekiti wake, Jaji Hamisi Msumi, jijini Dar es Salaam jana.
Ngeleja ajimaliza Escrow, Adai hajapokea mgawo peke yake, Naye kigogo Ikulu kula kibano leo.
Ngeleja (47), ambaye amewahi pia kuwa naibu waziri na Waziri wa Nishati na Madini, alisema hayo wakati akihitimisha utetezi wake baada ya kusomewa malalamiko hayo dhidi yake na wanasheria wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma mbele ya baraza hilo, linaloongozwa na Mwenyekiti wake, Jaji Hamisi Msumi, jijini Dar es Salaam jana.
0 comments:
Post a Comment