2014-12-08

Kiongozi wa waasi Msumbiji tayari kutoka msituni


Wapiganaji wa lililokuwa kundi la waasi Msumbiji Renamo wakipokea mafunzo Novemba 8, 2012 katika milima ya Gorongosa. Picha/AFP

t

Aliyekuwa kamanda wa waasi nchini Msumbiji amesema yuko tayari kuondoka kichakani kwa mazungumzo na serikali baada ya uhasama wao kuchangia ghasia mbaya mwaka huu.
 

0 comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...