hayahaya kumekucha mwanadada zari ameamua kutoa kali ya mwaka, most of the people dont no.. That kama zari mke wa diamond the platnumz anajua kiswahili fasaha. kama ilivyo ada ya mtandao wa makubwa haya huwa tunawakusanyia habari zote za mastaa ndani na nje ya nchi, so jana
mwanadada zari alipost picha hiyo inayoonekana hapo juu na kuandika hiyo ndio thursday through back yake, si ndio mbongo akijitusu na kuropoka eti hyo mimba iko wapi? Jioni mwenyewe kwenye picha hapa chini namna mwanadada huyo alivyojibiwa...
0 comments:
Post a Comment