Daktari wa Shirika la Spacsaver Ingrid Stenersen akimfanyia uchunguzi
 mmoja ya wananchi wa Jimbo la Kiembesamaki waliofika Skuli ya Sekondari
 ya eneo hilo kupatiwa huduma ya macho.
Daktari wa macho kutoka Shirika la Spacsaver Petter Daniesin 
akimfanyia vipimo  mtoto  Sabrina Abdalla Salum katika zoezi 
linalofanyika  Skuli ya Sekondari ya Kiembesamaki.
Wananchi wa Jimbo la Kiembesamaki wakiwa katika mistari wakisubiri 
huduma ya kupima macho inayotolewa kwa ushirikiano na madaktari kutoka 
Shirika la Spacsaver la Sweeden na 
madaktari wa Hospitali Kuu ya 
Mnazimmoja katika Skuli ya  Sekondari ya Kiembesamaki.( Picha na Makame 
Mshenga-Maelezo Zanzibar. )






0 comments:
Post a Comment