Dar es Salaam. Siku moja baada ya Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), kuifungia Kampuni ya Lino International kuendesha mashindano ya Miss Tanzania kwa miaka miwili, Mkurugenzi wa kampuni hiyo, Hashim Lundenga amesema hatua hiyo imefikiwa kutokana na shinikizo kutoka kwa baadhi ya watu wenye dhamira ya kuitoa kwenye mstari wa mafanikio sanaa ya urembo nchini.
(adsbygoogle = window.adsbygoogle...
2014-12-31
Watu Hoi;Mapinduzi yatibua ratiba ligi
Dar es Salaam. Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limepangua ratiba ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara ili kuziwezesha timu nne kushiriki Kombe la Mapinduzi linalotarajiwa kuanza kesho kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
Tanzania Bara itawakilishwa na Yanga, Simba, Azam FC na Mtibwa Sugar katika mashindano hayo ya maadhimisho ya Mapinduzi ya...
mapema; Hakimu ajitoa kesi ya kina Sheikh Farid,
Kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu (Jumiki) visiwani Zanzibar, Sheikh Farid AhmedHakimu Mkazi wa Mahakama Kisutu jijini Dar es Salaam, Hellen Riwa, amejitoa kusikiliza kesi ya ugaidi inayomkabili kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu (Jumiki) visiwani Zanzibar,...
KITIM TIM;WATU WANNE WANASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI KWA KUTOROKA NA ALBINO MKOANI MWANZA
Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linawashikilia watu wanne akiwemo baba mzazi wa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi Albinism aliyetekwa nyara na watu wasiojulikana usiku wakiwa wamelala na kuondoka naye kusikojulikana hali iliyozua hofu kubwa kwa jamii.
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
...
JESHI LA POLISI LASHIKILIA WATU WANNE KWA KUTOROKA NA ALBINO MKOANI MWANZA
Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linawashikilia watu wanne akiwemo baba mzazi wa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi Albinism aliyetekwa nyara na watu wasiojulikana usiku wakiwa wamelala na kuondoka naye kusikojulikana hali iliyozua hofu kubwa kwa jamii.
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
...
Afunguka;Rais Jammeh Bado niko mamlakani'
DUU;.Ndoa za jinsia moja zafanyika Uskochi
Kume Kucha;Makundi ya urais CCM yaitafuna jumuiya ya wanafunzi wa vyuo
Kweli Kabisa;Ufisadi ni mbolea ya kuchochea ugaidi
POLENI;Kenya na ubovu wa upinzani, Katiba na tatizo la usalama
Tangu wiki iliyopita, Bunge la Kenya limeendelea kujadili muswada wa mabadiliko ya Sheria (Security Laws Amendment Bill 2014) ambao ulitarajiwa kuleta mabadiliko makubwa katika mustakabali mzima wa usalama wa nchi.
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
Ikumbukwe Kenya imekuwa ikikabiliana na mfululizo wa mashambulizi kutoka kikundi cha kigaidi cha Al Shabaab kwa zaidi ya...
KIFO HAKINA HURUMA; MTUHUMIWA WA MADAWA YA KULEVYA APIGWA RISASI KATIKA HARAKATI ZA KUTAKA KUTOROKA MAHAKAMANI
HURUMA;KUNDI LA ISIS LAWACHINJA WAPIGANAJI WAKE ZAIDI YA 120 KWA KUJARIBU KUTOROKA

Wapiganaji wa ISIS wakiua kundi la watu kwa risasi©RT Kundi hatari linalodai kutetea na kufuata haki za dini ya kiislamu linalopigana nchini Iraq na Syria la Islamic State limewanyonga wapiganaji wake wa kigeni zaidi ya120 kufuatia wapiganaji hao kutaka kuondoka na kurudi makwao na kuachana na kundi...
Baada ya kuanguka CCM-Wassira ataja sababu kashfa ya Escrow
Ni shiiiiiiiiiiiida!!!!!!! Baada ya Kumzawadia wema Sepetu Gari ya Bei Kubwa iliyoleta Utata Martin Kadinda anunua gari mpyaaa!
Ni perampera!!!!!!!!!!!!!!!!! Polisi Yatangaza Msako kwa Wanawake Wanaofanya Biashara ya Ngono
HALI MBAYA YA HEWA YAKWAMISHA ZOEZI LA UOKOAJI MIILI KUTOKA AIRASIA QZ8501
MAMBO HAYOOOOOO!!!!!!!!!!!! MATUKIO YALIYOTIKISA NCHI MWAKA 2014
ROHO JUU;KATIBA MPYA Kura tatu zawaweka njiapanda Wazanzibari
Ni noumaaaaaaaaaa!!!!!! Jay Z Ndie Aliyemtoa Bikra Beyonce Mpwa wake Avujisha Siri.
JB AAMUA KUJISAHAURISHA
WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI UNAOTEKELEZWA NA TASAF WACHIMBA MTARO WA MAJI
Lazima;Hatua zaidi zatakiwa kuchukuliwa wahusika wa ESCROW.
Wakati baadhi ya wananchi na taasisi mbalimbali nchini zikiendelea kushinikiza uwajibishwaji wa baadhi ya viongozi waliohusika na wizi kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, umoja wa shirikisho la chuo kikuu cha Dodoma umeshauri hatua zaidi zichukuliwe dhidi ya wahusika wote kwani kuvuliwa nyadhifa zao pekee haitoshi.
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
Aidha shirikisho...
Zachembe!!!!!!!!! WELLU ANASA MIMBA TENA!
JOKATE ASAPRAIZIWA NA MILLEN MAGESE
Maajabu;Mtoto wa miaka 2 aua mama yake
Maafisa nchini Marekani wanasema kuwa mtoto mmoja mdogo mvulana wa miaka miwili amempiga risasi kimakosa mama yake mzazi na kumuua ndani ya duka moja kubwa la uuzaji bidhaa la Wal-Mart.
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
Maafisa wa usalama wanasema bunduki iliyotumika iliyokuwa imefichwa ilichomoka wakati mvulana huyo alipokaribia na kuligusa begi la mkononi la mama yake...
Ni sheeeeeeeeeda!!!!!!!!!!! RAYUU AMUANIKA MWANDANI WAKE
Subscribe to:
Posts (Atom)