2014-12-31

Nishida;Lundenga alia hujuma

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), kuifungia Kampuni ya Lino International kuendesha mashindano ya Miss Tanzania kwa miaka miwili, Mkurugenzi wa kampuni hiyo, Hashim Lundenga amesema hatua hiyo imefikiwa kutokana na shinikizo kutoka kwa baadhi ya watu wenye dhamira ya kuitoa kwenye mstari wa mafanikio sanaa ya urembo nchini.  (adsbygoogle = window.adsbygoogle...

Watu Hoi;Mapinduzi yatibua ratiba ligi

Dar es Salaam. Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limepangua ratiba ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara ili kuziwezesha timu nne kushiriki Kombe la Mapinduzi linalotarajiwa kuanza kesho kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.  (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Tanzania Bara itawakilishwa na Yanga, Simba, Azam FC na Mtibwa Sugar katika mashindano hayo ya maadhimisho ya Mapinduzi ya...

mapema; Hakimu ajitoa kesi ya kina Sheikh Farid,

Kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu (Jumiki) visiwani Zanzibar, Sheikh Farid AhmedHakimu Mkazi wa Mahakama Kisutu jijini Dar es Salaam, Hellen Riwa, amejitoa kusikiliza kesi ya ugaidi inayomkabili kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu (Jumiki) visiwani Zanzibar,...

KITIM TIM;WATU WANNE WANASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI KWA KUTOROKA NA ALBINO MKOANI MWANZA

Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linawashikilia watu wanne akiwemo baba mzazi wa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi Albinism aliyetekwa nyara na watu wasiojulikana usiku wakiwa wamelala na kuondoka naye kusikojulikana hali iliyozua hofu kubwa kwa jamii.   (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); ...

JESHI LA POLISI LASHIKILIA WATU WANNE KWA KUTOROKA NA ALBINO MKOANI MWANZA

Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linawashikilia watu wanne akiwemo baba mzazi wa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi Albinism aliyetekwa nyara na watu wasiojulikana usiku wakiwa wamelala na kuondoka naye kusikojulikana hali iliyozua hofu kubwa kwa jamii.   (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); ...

Kume Kucha;Makundi ya urais CCM yaitafuna jumuiya ya wanafunzi wa vyuo

0 (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Dar es Salaam. Mbio za urais 2015 zinaendelea kushika kasi. Wanasiasa wanapigana vikumbo kutafuta kuungwa mkono na vyama vyao kwa nia ya kuendelea kushika dola kwa wale waliopo madarakani na waliopo nje wakijaribu kujiimarisha kwa kujiongezea...

Kweli Kabisa;Ufisadi ni mbolea ya kuchochea ugaidi

(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Huko Nigeria mwanajeshi hunyongwa anapokataa kupigana dhidi ya kundi la kigaidi la Boko Haram. Na karibuni huko Kenya ilipitishwa Sheria ya Usalama, ambayo pindi busara haitatumika itaweza ikaipeleka nchi hiyo pabaya na hata kuonekana mbele ya...

POLENI;Kenya na ubovu wa upinzani, Katiba na tatizo la usalama

Tangu wiki iliyopita, Bunge la Kenya limeendelea kujadili muswada wa mabadiliko ya Sheria (Security Laws Amendment Bill 2014) ambao ulitarajiwa kuleta mabadiliko makubwa katika mustakabali mzima wa usalama wa nchi.  (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Ikumbukwe Kenya imekuwa ikikabiliana na mfululizo wa mashambulizi kutoka kikundi cha kigaidi cha Al Shabaab kwa zaidi ya...

HURUMA;KUNDI LA ISIS LAWACHINJA WAPIGANAJI WAKE ZAIDI YA 120 KWA KUJARIBU KUTOROKA

Wapiganaji wa ISIS wakiua kundi la watu kwa risasi©RT Kundi hatari linalodai kutetea na kufuata haki za dini ya kiislamu linalopigana nchini Iraq na Syria la Islamic State limewanyonga wapiganaji wake wa kigeni zaidi ya120 kufuatia wapiganaji hao kutaka kuondoka na kurudi makwao na kuachana na kundi...

Baada ya kuanguka CCM-Wassira ataja sababu kashfa ya Escrow

  Mh. Stephen Wassira, amekiri kuwa kutochukua hatua za mapema kuhusu sakata la uchotwaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow ni moja ya sababu ambayo imesababisha chama hicho kutofanya vizuri katika uchaguzi wa serikali za mitaa.Mh,Wassira ambaye pia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mahusiano...

Ni shiiiiiiiiiiiida!!!!!!! Baada ya Kumzawadia wema Sepetu Gari ya Bei Kubwa iliyoleta Utata Martin Kadinda anunua gari mpyaaa!

Baada ya Martin Kadinda Kumzawadia Gari ya Gharama Wema Sepetu siku ya Sherehe ya kuzaliwa kwake iliyoleta utata naye ameamua kununua gari kali aina ya Primera Kuwakata Watu Midomo walio shangaa kwa yeye Kumpa mtu zawadi ya gari ya gharama wakati yeye hana ...  (adsbygoogle = window.adsbygoogle...

Ni perampera!!!!!!!!!!!!!!!!! Polisi Yatangaza Msako kwa Wanawake Wanaofanya Biashara ya Ngono

  Polisi mkoani Tanga wamesema wataendesha msako wa kuwakamata watu wanaofanya biashara ya ngono katika nyumba za starehe na mitaa maarufu kwa biashara hiyo. Msako huo unatokana na malalamiko ya muda mrefu ya wakazi wa Jiji la Tanga hususan wanaoishi mitaa ya Centrol na Ngamiani ambako biashara...

HALI MBAYA YA HEWA YAKWAMISHA ZOEZI LA UOKOAJI MIILI KUTOKA AIRASIA QZ8501

Baadhi ya mabaki ya Ndege ya AirAsia yakiwa Uwanja wa Ndege wa Pangkalan Bun, Indonesia leo.    (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Mwili wa mmoja wa watu waliokuwa kwenye ndege ya AirAsia ukielea katika Bahari ya Java. Maofisa wa Kikosi cha Uokoaji wakiichunguza...

MAMBO HAYOOOOOO!!!!!!!!!!!! MATUKIO YALIYOTIKISA NCHI MWAKA 2014

Msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ akiwa na mshindi wa shindano la Big Brothers Idris. MWAKA 2014 unafikia tamati leo. Kwa Watanzania, kuna matukio mbalimbali yaliyojitokeza ambayo yameacha kumbukumbu kubwa kwao. Hata hivyo, yafuatayo ndiyo mambo yaliyotia fora zaidi.  Viungo vingi...

ROHO JUU;KATIBA MPYA Kura tatu zawaweka njiapanda Wazanzibari

(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Wananchi wa Zanzibar wapo katika matayarisho ya kupiga kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa baada ya Bunge la Katiba kukamilisha majukumu yake Oktoba mwaka huu na kubakia kura ya maoni mwakani. Upingaji wa kura utatanguliwa na elimu ya uraia...

Ni noumaaaaaaaaaa!!!!!! Jay Z Ndie Aliyemtoa Bikra Beyonce Mpwa wake Avujisha Siri.

Taarifa za staa Jay Z ambazo zinasambazwa na Mpwa wake kuwa alitelekeza familia yako baada ya kuwa na mahusiano na Beyonce.  Kwenye tweets ambayo hiyo akaunti imefungwa sasa, Ndugu huyo wa Jay Z alikaririwa kwenye moja ya tweets zake akisema akimlaumu ndugu yake kuwa alidata kwa kuwa ndiye...

JB AAMUA KUJISAHAURISHA

(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Muigizaji mkongwe kwenye filamu nchini, Jacob Steven ‘JB’. MUIGIZAJI mkongwe kwenye filamu nchini, Jacob Steven ‘JB’ ameamua kujipoteza kwa makusudi katika uigizaji akiwa na lengo la kuweka mbele kazi zinazofanywa na kampuni yake ya...

WALENGWA WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI UNAOTEKELEZWA NA TASAF WACHIMBA MTARO WA MAJI

 Maelfu ya wakazi wa shehia ya Mpapa wilaya ya Kusini Unguja wanatarajiwa kunufaika na huduma ya maji safi na salama baada ya kukamilika kwa mradi wa maji unaotekelezwa na walengwa wa Mpango wa kunusuru kaya maskini unaoratibiwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF kwa utaratibu wa ajira ya muda...

Lazima;Hatua zaidi zatakiwa kuchukuliwa wahusika wa ESCROW.

Wakati baadhi ya wananchi na taasisi mbalimbali nchini zikiendelea kushinikiza uwajibishwaji wa baadhi ya viongozi waliohusika na wizi kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, umoja wa shirikisho la chuo kikuu cha Dodoma umeshauri hatua zaidi zichukuliwe dhidi ya wahusika wote kwani kuvuliwa nyadhifa zao pekee haitoshi.  (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Aidha shirikisho...

JOKATE ASAPRAIZIWA NA MILLEN MAGESE

  Mwanamitindo maarufu Bongo, ambaye anafanya kazi zake nje ya nchi Happyness Magesse ‘Millen’. Mwanamitindo maarufu Bongo, ambaye anafanya kazi zake nje ya nchi Happyness Magesse ‘Millen’ ambaye pia alishawahi kunyakua taji la Miss Tanzania 2001, ‘amemsapraiz’ mwanamitindo na mbunifu Jokate...

Maajabu;Mtoto wa miaka 2 aua mama yake

Maafisa nchini Marekani wanasema kuwa mtoto mmoja mdogo mvulana wa miaka miwili amempiga risasi kimakosa mama yake mzazi na kumuua ndani ya duka moja kubwa la uuzaji bidhaa la Wal-Mart. (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Maafisa wa usalama wanasema bunduki iliyotumika iliyokuwa imefichwa ilichomoka wakati mvulana huyo alipokaribia na kuligusa begi la mkononi la mama yake...

Ni sheeeeeeeeeda!!!!!!!!!!! RAYUU AMUANIKA MWANDANI WAKE

  Msanii wa filamu Bongo, Alice Bagenzi ‘Rayuu’. MSANII wa filamu Bongo, Alice Bagenzi ‘Rayuu’ amezua gumzo baada ya picha zake zinazomuonesha akiwa chumbani na mwanaume kuenea mtandaoni, huku kijana huyo akionekana kujichora tatoo yenye jina la mwanadada huyo.  (adsbygoogle = window.adsbygoogle...
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...