Meneja Mkuu wa Global Publishers, Abdallah Mrisho (W) akiongea na waandishi wa habari katika Hoteli ya Atriums kuhusiana na shoo ya Pasaka Dar Live.
Wandishi wa habari mbalimbali wakiwa kazini kama inavyoonekana.
Kiongozi wa kundi la sarakasi la Masai Warrios akiongea jambo kuhusu shoo...
2015-03-31
Je,ni Sahihi Mkuu wa Wilaya, Paul Makonda Kutaka Kumhoji Gwajima Wakati Polisi Walishamhoji ???...Haya Ni Maoni Ya Malisa Na Mtatiro Kuhusiana na Sakata Hili
Ufafanuzi wa Tukio la Kula Njama na Kujaribu Kumtorosha Askofu Josephat Gwajima Akiwa Hospitali.....
Kesi ya Mchungaji Mtikilia Kupinga Mahakama ya Kadhi Imeanza Kuunguruma Mahakamani......Mtikila Anapinga Mahakama hiyo Kujadiliwa Bungeni,Serikali kutoa Majibu Leo Kortini

Mwenyekiti wa Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, ameiomba Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam, kutoa amri kwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kusitisha kujadili suala lolote linalohusu kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi. Mtikila aliwasilisha maombi yake jana...
Profesa Lipumba na Dr. Slaa Wamjulia Hali Gwajima......Walitupia Lawama Jeshi la Polisi.
Sakata la Dr. Slaa Kutaka kuuawa: Mke Wake Ahojiwa Polisi Kwa Masaa Matatu.
Maaskofu na Wachungaji Watoa Tamko Zito Kuhusiana na Kudhoofu Kwa Afya Ya Gwajima Mikononi mwa Polisi.....Wapanga Kuonana na IGP Mangu. Tamko Liko Hapa.
Sad Newzzzzzzzz:MAITI YAPATA AJALI WAKATI IKIEDA KUZIKWA
HIZI NDIO SURA MBILI ZA ASKOFU GWAJIMA!............soma hapa
VANESSA MDEE ATOBOA SIRI NZITO!!............soma hapa kujua alichokisema
KUHUSU VURUGU KALI ZILIZOIBUKA MBEYA...........bofya hapa kuona mabomu yakilindima
KUNDI la vijana linalosadikiwa kuwa ni vibaka limeibuka na kufanya vurugu zilizoambatana na uvunjifu wa amani katika eneo la Soweto na Mwanjelwa jijini hapa.
Kutokana na hali hiyo, Polisi mkoani Mbeya walilazimika kutumia nguvu ya ziada kuwatawanya vijana hao ambao tayari walianza kuweka matairi,...
Gwajima Afunguka......Asema Aliagiza Bastola yake ili Ajihami Baada ya Taarifa Kuzagaa Mitandaoni kuwa Amefariki Dunia
Baada ya Kuhamia Nyumba Mpya, Diamond na Zari Roho Mkononi, Yabainiki Kwake ulinzi ni Sifuri, Mwenyewe Akiri Kuishi kwa Hofu

TAHADHARI ichukuliwe! Habari zikufikie kuwa, baada ya staa mkubwa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz‘ na mpenzi wake, Zarinah Hassani ‘Zari’, kuhamia kwenye mjengo wake mpya uliopo Madale jijini Dar, imebainika kuwa familia hiyo inaishi roho mkononi kufuatia ulinzi sifuri, jambo linalowafanya...
Video ya Davido akimponda Diamond, wikii hii alipokua Kenya.............bofya hapa kuona video hiyo
Tamko la Maaskofu kuhusu sakata la Gwajima............soma hapa

Baadhi ya Maaskofu wakifuatilia kwa makini tamko lililokuwa linatolewa na wenzao ambao hawapo pichani. Maaskofu kutoka madhehebu mbali mbali ya Kikristo nchini Tanzania wanakusudia kuonana na mkuu wa jeshi la polisi IGP Ernest Mangu, ili kupata suluhu kuhusu sakata linalomkabili mkuu wa kanisa la...
Ina sikitisha sana:Mwanamume anywa sumu baada ya kumchoma kisu mkewake
MWANAMKE mmoja mwenye asili ya Kiarabu, Salma Amuri (39) (pichani) mkazi wa Mji Mpya, Kawe jijini Dar, amenusurika kifo baada ya kuchomwa visu sehemu mbalimbali za mwili wake ikiwemo tumboni na mumewe aliyetambulika kwa jina moja la Selemani.Mwanaume huyo naye baada ya tukio hilo alijaribu kujiua...
Subscribe to:
Posts (Atom)