2015-03-31

Ni shiiiiiiiiiiiidah!!!!!!!!!!!!! ALI KIBA AAHIDI KUWACHEKETUA MASHABIKI WAKE

Meneja Mkuu wa Global Publishers, Abdallah Mrisho (W) akiongea na waandishi wa habari katika Hoteli ya Atriums kuhusiana na shoo ya Pasaka Dar Live.  Wandishi wa habari mbalimbali wakiwa kazini kama inavyoonekana.  Kiongozi wa kundi la sarakasi la Masai Warrios akiongea jambo kuhusu shoo...

Je,ni Sahihi Mkuu wa Wilaya, Paul Makonda Kutaka Kumhoji Gwajima Wakati Polisi Walishamhoji ???...Haya Ni Maoni Ya Malisa Na Mtatiro Kuhusiana na Sakata Hili

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda ambaye alikuwa amemwandikia Gwajima barua akimwita ofisi kwake, jana mchana alimtembelea hospitalini hapo kwa ajili ya kumjulia hali kiongozi huyo lakini akasisitiza kuwa nia yake bado ipo palepale. “Nilimtaka leo aripoti ofisini kwangu lakini kwa bahati...

Ufafanuzi wa Tukio la Kula Njama na Kujaribu Kumtorosha Askofu Josephat Gwajima Akiwa Hospitali.....

Tarehe 30/03/2015 waandishi wa habari walifika kituo Kikuu cha Polisi wakitaka kujua uhalali wa silaha iliyokamatwa tarehe 29/03/2015. Silaha hiyo ni Bastola aina ya BERRETA yenye namba CAT5802 ikiwa na risasi tatu. Pia zilikamatwa risasi 17 za Short Gun.Ufafanuzu ni kama ifuatavyo: (adsbygoogle...

Kesi ya Mchungaji Mtikilia Kupinga Mahakama ya Kadhi Imeanza Kuunguruma Mahakamani......Mtikila Anapinga Mahakama hiyo Kujadiliwa Bungeni,Serikali kutoa Majibu Leo Kortini

Mwenyekiti wa Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, ameiomba Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam, kutoa amri kwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kusitisha kujadili suala lolote linalohusu kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi. Mtikila aliwasilisha maombi yake jana...

Profesa Lipumba na Dr. Slaa Wamjulia Hali Gwajima......Walitupia Lawama Jeshi la Polisi.

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba, jana alimtembea Askofu Gwajima hospitalini hapo kumjulia hali. Lipumba amekuwa kiongozi wa pili wa kisiasa kufika hospitalini hapo kumjulia hali Gwajima, baada ya Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa aliyefika kwa mara ya kwanza...

Sakata la Dr. Slaa Kutaka kuuawa: Mke Wake Ahojiwa Polisi Kwa Masaa Matatu.

Mke wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, Josephine Mushumbusi, jana alitoa ushahidi katika Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dar es Salaam, kuhusiana na tuhuma zinazomkabili Khalid Kagenzi, za kutaka kumdhuru mumewe. Kutokana na hatua hiyo ya Mushumbusi,...

Maaskofu na Wachungaji Watoa Tamko Zito Kuhusiana na Kudhoofu Kwa Afya Ya Gwajima Mikononi mwa Polisi.....Wapanga Kuonana na IGP Mangu. Tamko Liko Hapa.

Sisi maaskofu na wachungaji kutoka makanisa mbalimbali tumeshtushwa na kusikitishwa kwa taarifa ya ugonjwa wa Askofu na mtumishi mwenzetu Josephat Gwajima ambaye tarehe 27/03/2015 alifika kituo cha polisi cha kati kuitikia wito wa polisi uliomtaka kwenda kujibu shutuma za kutumia lugha ya matusi...

HIZI NDIO SURA MBILI ZA ASKOFU GWAJIMA!............soma hapa

SIKU chache baada ya Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kukamatwa na kuhojiwa na polisi na hatimaye kuzimia, utata mpya umeibuka juu ya kiongozi huyo wa kiroho.  Utata huo unahusu uraia, historia yake, utajiri na umiliki wa silaha ambayo Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya...

VANESSA MDEE ATOBOA SIRI NZITO!!............soma hapa kujua alichokisema

VANESSA Mdee ambaye ameutambulisha rasmi wimbo wake mpya wa ‘No body but me’, ameweka wazi kwamba kushindwa kumudu gharama za uandaaji wa video, muziki bora kumekuwa sababu kubwa kwa wasanii wa kike kujiingiza katika mapenzi na watayarishaji wa muziki.  Vanessa alitoa siri hiyo juzi alipotembelea...

KUHUSU VURUGU KALI ZILIZOIBUKA MBEYA...........bofya hapa kuona mabomu yakilindima

KUNDI la vijana linalosadikiwa kuwa ni vibaka limeibuka na kufanya vurugu zilizoambatana na uvunjifu wa amani katika eneo la Soweto na Mwanjelwa jijini hapa.  Kutokana na hali hiyo, Polisi mkoani Mbeya walilazimika kutumia nguvu ya ziada kuwatawanya vijana hao ambao tayari walianza kuweka matairi,...

Gwajima Afunguka......Asema Aliagiza Bastola yake ili Ajihami Baada ya Taarifa Kuzagaa Mitandaoni kuwa Amefariki Dunia

Hii ni Picha iliyosambazwa katika mitandao ya kijamii ikidai kuwa Gwajima kafariki dunia na yuko Mochwari.Taarifa hizi zilimpa hofu Gwajima na kumfanya Aagize Bastola yake kwa ajili ya kujihami. **********Utata umeibuka kuhusu bastola waliyodaiwa kukamatwa nayo wafuasi wa...

Baada ya Kuhamia Nyumba Mpya, Diamond na Zari Roho Mkononi, Yabainiki Kwake ulinzi ni Sifuri, Mwenyewe Akiri Kuishi kwa Hofu

TAHADHARI ichukuliwe! Habari zikufikie kuwa, baada ya staa mkubwa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz‘ na mpenzi wake, Zarinah Hassani ‘Zari’, kuhamia kwenye mjengo wake mpya uliopo Madale jijini Dar, imebainika kuwa familia hiyo inaishi roho mkononi kufuatia ulinzi sifuri, jambo linalowafanya...

Video ya Davido akimponda Diamond, wikii hii alipokua Kenya.............bofya hapa kuona video hiyo

Inaonekana bifu la Davido na Diamond bado linaendelea japo wao wenyewe kusema kua hakuna bifu kati yao wawili. Wiki hii Davido alikua Kenya na kibaya zaidi alilalamikiwa na mashabiki wake kua alipanda stejini kalewa na kufanya show iliyochukua dakika 20 tu kisha akashuka.  (adsbygoogle...

Tamko la Maaskofu kuhusu sakata la Gwajima............soma hapa

Baadhi ya Maaskofu wakifuatilia kwa makini tamko lililokuwa linatolewa na wenzao ambao hawapo pichani. Maaskofu kutoka madhehebu mbali mbali ya Kikristo nchini Tanzania wanakusudia kuonana na mkuu wa jeshi la polisi IGP Ernest Mangu, ili kupata suluhu kuhusu sakata linalomkabili mkuu wa kanisa la...

Ina sikitisha sana:Mwanamume anywa sumu baada ya kumchoma kisu mkewake

MWANAMKE mmoja mwenye asili ya Kiarabu, Salma Amuri (39) (pichani) mkazi wa Mji Mpya, Kawe jijini Dar, amenusurika kifo baada ya kuchomwa visu sehemu mbalimbali za mwili wake ikiwemo tumboni na mumewe aliyetambulika kwa jina moja la Selemani.Mwanaume huyo naye baada ya tukio hilo alijaribu kujiua...
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...